Saturday, November 5, 2016

JINSI YA KUANGALIA MPIRA KWENYE SMARTPHONE AU COMPUTER

Hili kuangalia mpira online kwenye simu yako unatakiwa ufuate hatua zifuatazo..

     HATUA ZA KUFUATA
1.Fungua website yako itakayo kufikisha kwenye google...
2.Baada ya kufika google search App inayoitwa mobdro na uidownload.
3.Install iyo app kwenye simu ambayo unataka uwe unaangalia mpira online(Sport)na channel zinginezo na uifungue baada ya hapo.
4.Utatafuta channel ya mpira unayotaka kuangalia kupitia hiyo app na kuanza kuangalia.
5.Enjoy
     NOTE:App hii haipatikani playstore so usiitafute playstore pia unaweza kuangalia channel zinginezo tofauti na za mpira utaziona channel nyingi  utaweza kasearch unayotaka kuangalia .Pia hii app inatumia MB
  ENJOY!!!!

1 comment: