Karibuni katika blog pendwa ya star boy katika blog hii utajiunza vitu mbalimbali vinavyo husiana na teknolojia na maendeleo yake........
Sunday, December 11, 2016
Diamond platnumz apata mtoto wa kiume
Diamond platnumz apata mtoto wa kiume huyu hapa click hiyo video umuone
Friday, December 9, 2016
Diamond platnumz ft rayvanny -_-SALOME{Guitar cover new version}
*Imeandaliwa na star boy ©2016/17
Wednesday, December 7, 2016
JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE
Leo nitaelezea ni jinsi gani unaweza kudownload (kupakua)video youtube .Watu wengi walikuwa wakijiuliza kuwa wana wezaje kudownload video youtube .Leo nimekuja na ujuzi huu kidogo ili niwajuze .
Fuata hatua zifuatazo ili kudownload video youtube .
1:Ingia kwenye browser na search App iitwayo vidmate.
2:Download na install vidmate then open it.
3:Utakuta youtube ifungue hiyo youtube kisha tafuta video unaitaka
4:Anza kudownload video yako
5: Enjoy it
Monday, December 5, 2016
EPUKA KUPAKUA HIZI APPS KUTOKA MASOKO YASIYO RASMI
Leo nitaelezea kwa ufupi kuhusiana na upakuzi wa apps ktk masoko yasiyo rasmi yanavyo weza kukusababixhia kirusi cha Gooligan kirusi hichi inasemekana kinaweza kuingia kwenye simu kupita Apps zinazopatia masoko yasiyo rasmi.Baada ya kuingia kwa virus huu kwenye simu huanza kuiba nywila unazotumia kuingia mitandao mbalimbali hasa ya Google.
>>>>Tayari uchunguzi umeonesha kirusi hiki cha Gooligan kinapatikana katika App 80 ambazo zinapatikana katika masoko yasiyo rasmi,hii ni tishio kwa sisi tunaotumia App hizi kwenye simu zetu.
>>>Kama wewe ni mtumiaji wa app kutoka katika soko lisilo rasmi unaweza kuangalia kama account ya imeshambuliwa
https://gooligan.checkpoint.com
Halafu weka email yako wao wataangalia kama account yako imeshambuliwa .Kama kweli umeshambuliwa unatakiwa ubadilishe password yako ya Gmail na unatakiwa uipeleke kwa fundi mzoefu ili hai flash.
>>>>Tayari uchunguzi umeonesha kirusi hiki cha Gooligan kinapatikana katika App 80 ambazo zinapatikana katika masoko yasiyo rasmi,hii ni tishio kwa sisi tunaotumia App hizi kwenye simu zetu.
>>>Kama wewe ni mtumiaji wa app kutoka katika soko lisilo rasmi unaweza kuangalia kama account ya imeshambuliwa
https://gooligan.checkpoint.com
Halafu weka email yako wao wataangalia kama account yako imeshambuliwa .Kama kweli umeshambuliwa unatakiwa ubadilishe password yako ya Gmail na unatakiwa uipeleke kwa fundi mzoefu ili hai flash.
Subscribe to:
Posts (Atom)